Parliament of Tanzania

News & Events

06th Nov 2023

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasilisha Bungeni Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2024/25

04th Nov 2023

Mwenyekiti wa Bunge Bonanza Mhe. Festo Sanga (Mb) amekutana na Waandishi wa Habari Leo tarehe 03 Novemba 2023, Ofisi za Bunge Dar kuzungumzia Bunge Bonanza litakalofanyika tarehe 27 Januari 2024

03rd Nov 2023

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisoma Taarifa kuhusu kuidhinishwa kwa Sera ya Elimu na Mafunzo 2014, Toleo la2023 wakati wa kipindi cha Maswalı ya Papo kwa Papo, bungeni jijini Dodoma, Novemba 2, 2023.

31st Oct 2023

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb) akiingia Bungeni kwa ajili ya kuongoza Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kumi na Tatu wa Bunge

30th Oct 2023

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) akiwaongoza Viongozi, Wabunge na Watumishi wa Ofisi ya Bunge katika mapokezi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) na Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson katika Uwanja wa Ndege wa Jijini Dodoma.

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

View All MP's