United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
05th Sep 2019
Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 6 wa Mwaka 2019 (The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.6) Act, 2019
04th Sep 2019
Waheshimiwa Wabunge wakiwa wamesimama kwa ajli ya Dua kabla ya kuanza kwa kikao cha Bunge
22nd Aug 2019
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa 50 wa Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika unaotarajiwa kufanyika Zanzibar tarehe 30 Agosti, 2019 mpaka tarehe 5 Septemba, 2019
20th Aug 2019
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) katika mafunzo Jijini Dodoma
14th Aug 2019
Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimkabidhi Katibu wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai Mkataba kwa ajili ya kuunda Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge mara baada ya kuzindua Baraza hilo. Uzinduzi huo umefanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar