United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
12th Mar 2018
Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa, Mhe. Jasson Rweikiza (katikati) akizungumza na Wajumbe wa kamati hiyo maara baada ya kumchagua tena kushika nafasi hiyo.
12th Feb 2018
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha Bunge mjini Dodoma
30th Jan 2018
Naibu Spika wa Bunge Dkt Tulia Ackson akizungumza Bungeni wakati akitoa taarifa ya Mheshimiwa Spika
30th Jan 2018
Waheshimiwa Wabunge wakiimba Wimbo wa Taifa kabla ya kuanza kwa kikao cha kwanza cha Mkutano wa Kumi wa Bunge