You are using an older version of Internet Explorer.

In order to get the most out of our website, you can get a free update of Internet Explorer.
If you're using a work computer, please contact your IT administrator.

[CLOSE]
  email E-mail this to a friend email Printable version

Contributions

Mdee, Halima James[CHADEMA]

Kawe Constituency
Session No Seating No Contribution Date Contribution To
2 1 8 February 2011 UFAFANUZI KUHUSU KAMBI RASMI YA UPINZANI
Mheshimiwa Spika, kwanza nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuchangia hoja hii. Lakini pili, nichukue fursa hii kumkumbusha mchangiaji aliyepita, baba yangu Mheshimiwa Hamad Rashid Mohamed, Bunge la Tisa alipopata ridhaa ya kuwa Kiongozi wa Upinzani aliunda Kambi yake. Kanuni za Bunge zilivyobadilishwa, zikatengeneza asilimia ambayo ilifanya yeye ashindwe kutengeneza Kambi yake ndipo alipotuita.