United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutulinda na kutufikisha salama siku ya leo tunapohitimisha Mkutano wa Tano wa Bunge lako Tukufu tuliouanza tarehe 1 Novemba, 2016.
Hon. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
Kilosa (CCM)
Hon. Suleiman Haroub Suleiman
House of Representatives (CCM)