United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
Mheshimiwa Spika, awali ya yote, naomba kutumia fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa rehma kwa kutujaalia afya njema na kutufikisha siku ya leo tunapohitimisha Mkutano wa Sita wa Bunge lako Tukufu tuliouanza tarehe 31 Januari, 2017.
Hon. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka
Special Seats (CHADEMA)