Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Ujenzi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, hali ya barabara kutoka Njombe kwenda Ludewa ni mbaya sana, zaidi ya mwaka sasa mkandarasi hajarudi site. Sehemu ya Lusitu -Njombe spring za magari zitaharibika sana, bodi za magari zinalegea sana, matumizi ya mafuta ya magari yameongezeka na kuongoza gharama za uendeshaji na masaa mengi yanatumika kusafiri kwenye eneo lisilo na umbali mrefu.