Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 1 | Regional Administration and Local Government Authorities | Ofisi ya Rais TAMISEMI. | 3 | 2025-01-28 |
Name
Benaya Liuka Kapinga
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mbinga Vijijini
Primary Question
MHE. BENAYA L. KAPINGA aliuliza:-
Je, lini Serikali itatenga fedha za kujenga Daraja la Kijiji cha Lihale na Lusonga katika Mto Ruvuma, ili kuunganisha Mbinga Vijijini na Peramiho?
Name
Zainab Athuman Katimba
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. ZAINAB A. KATIMBA) alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Serikali inaendelea na kazi za upembuzi yakinifu katika Daraja la Lusonga katika Mto Ruvuma, ili kujenga daraja kubwa la kudumu. Aidha, katika mpango na bajeti ya Mwaka wa Fedha 2025/2026, Serikali imeweka katika mipango yake ujenzi wa daraja la waenda kwa miguu (suspension foot bridge) na pikipiki kwa gharama ya shilingi milioni 175.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved