Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 8 | Education, Science,Technology and Vocational Training, | Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia | 132 | 2025-02-06 |
Name
Dr. Jasson Samson Rweikiza
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Bukoba Vijijini
Primary Question
MHE. DKT. JASSON S. RWEIKIZA aliuliza:-
Je ni lini Tanzania itaridhia Mkataba wa Kimataifa wa Kujikinga na Bidhaa za Nyuklia?
Name
Prof. Adolf Faustine Mkenda
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Rombo
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WENYE ULEMAVU K.n.y. WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA alijibu:-
Mheshimiwa Spika, kwa niaba ya Mheshimiwa Waziri wa Elimu, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Dkt. Jasson Samson Rweikiza, Mbunge wa Bukoba Vijijini, kama ifuatavyo:-
Mheshimiwa Spika, Serikali inatarajia kukamilisha mchakato wa kuridhiwa kwa Mkataba wa Kimataifa wa Kujikinga na Bidhaa za Nyuklia kabla au ifikapo tarehe 30 Juni, 2025. Aidha, mkataba huo umeshawasilishwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa ajili ya kufanyiwa uridhiwaji. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved