Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 18 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 230 | 2025-05-06 |
Name
Jacquline Andrew Kainja
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. VENANT D. PROTAS K.n.y. MHE. JACQUELINE K. ANDREA aliuliza: -
Je, lini Serikali itamaliza kusambaza umeme kwenye vitongoji vyote nchini?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu: -
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kupeleka umeme katika vitongoji 33,657 kati ya vitongoji 64,359 vilivyopo nchini. Aidha, vitongoji 30,702 bado havijafikiwa na huduma ya umeme, ambapo kati ya hivyo, vitongoji 7,736 tayari vipo katika hatua ya utekelezaji kupitia miradi mbalimbali; na vitongoji vilivyosalia 22,966 vitapatiwa umeme kwa kipindi cha miaka mitano kulingana na upatikanaji wa fedha, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved