Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 18 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 232 | 2025-05-06 |
Name
Tumaini Bryceson Magessa
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Busanda
Primary Question
MHE. TUMAINI B. MAGESSA aliuliza: -
Je, ujenzi wa Barabara ya Mpomvu kupitia Nyarugusu kwenda Bulyankulu kwa kiwango cha lami upo katika hatua gani?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Mwenyekiti, Barabara ya Mpomvu – Nyarugusu inajulikana kwa jina la Geita – Bukoli – Bulyankulu Junction (Ilogi) yenye urefu wa kilometa 61.2. Kwa sasa Serikali iko katika hatua za mwisho za manunuzi ya Mkandarasi kwa ajili ya ujenzi wa barabara hii kwa kiwango cha lami, ahsante. (Makofi)
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved