Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 19 | Home Affairs | Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi | 248 | 2025-05-07 |
Name
Omar Issa Kombo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Wingwi
Primary Question
MHE. OMAR ISSA KOMBO aliuliza:-
Je, lini Serikali itajenga kituo kipya cha Polisi cha Wilaya ya Micheweni?
Name
Daniel Baran Sillo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Babati Vijijini
Answer
NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali itajenga Kituo Kipya cha Polisi cha Daraja “B” katika Wilaya ya Micheweni, ambacho kitagharimu kiasi cha fedha shilingi 802,926,788, kwa kuwa kituo kilichopo sasa ni chakavu na hakiwezi kufanyiwa ukarabati. Mpango wa ujenzi wa kituo kipya unaanza kwenye mwaka wa fedha 2024/2025 kupitia Mfuko wa Tuzo na Tozo, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved