Parliament of Tanzania

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Ask the Speaker / Comments

Mr. Baraka I. Leonard

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Ask the Clerk / Comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyopewa na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa niaba ya Wabunge wote. Kwaya ya Ofisi ya Bunge ikitumbuiza wakati wa hafla ya kumkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson pamoja na Viongozi wengine wa Kitaifa wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tazania Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Tuzo Maalum ya Heshima kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (watatu kutoka kushoto kwa waliokaa) katika picha ya pamoja na Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya Kikao cha Maspika hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Waliosimama ni Makatibu wa Mab Katibu wa Bunge la Tanzania, Ndg. Baraka Leonard (wanne kutoka kushoto) katika picha ya  pamoja na Makatibu wenzake  wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakati wa Kikao cha Makatibu hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma. Katibu wa Bunge Ndg. Baraka Leonard, amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma.

Bunge Lamkabidhi Tuzo Maalum Ya Heshima Rais Mhe. Dkt. Samia

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akimkabidhi kwa niaba ya Waheshimiwa Wabunge Tuzo Maalum ya Heshima Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu katika hafla iliyofanyika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Mambo Y ...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud T ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Maend ...

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorot ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Mambo ...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Innocent Bashungwa akiwasilisha Makadirio ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
The Supplementary Appropriation (For Financial Year 2024/25) Act, 2025 Passed Download
The National Health Insurance Fund (Amendment) Bill, 2025 First reading Download
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025] First reading Download
The National Housing Corporation (Amendment) Bill, 2025 First reading Download
The Labour Laws (Amendments) Bill, 2024) Passed Download
Details Options
Click Here for More What's On
MAELEZO YA MHESHIMIWA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMВА MADELU (MB), WAZIRI WA FEDHA AKIWASILISHA KATIKA KAMATI YA BUNGE ZIMA MAPENDEKEZO YA MFUMO NA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2025/26 Download
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26 Download
MAELEZO YA SPIKA KUHUSU MATUKIO MUHIMU KUELEKEA NA WAKATI WA MKUTANO WA KUMI NA TISA WA BUNGE Download
BUNGE NEWSLETTER NINTH EDITION-FEB.2025 Download
HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 17 WA BUNGE LA 12 TAREHE 8 NOVEMBA, 2024 DODOMA Download

Education And Outreach

EDUCATION

Parliament & Commitee Sessions And Sittings

Quick Links