Parliament of Tanzania

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Mr. Baraka I. Leonard

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (watatu kutoka kushoto kwa waliokaa) katika picha ya pamoja na Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya Kikao cha Maspika hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Waliosimama ni Makatibu wa Mab Katibu wa Bunge la Tanzania, Ndg. Baraka Leonard (wanne kutoka kushoto) katika picha ya  pamoja na Makatibu wenzake  wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakati wa Kikao cha Makatibu hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma. Katibu wa Bunge Ndg. Baraka Leonard, amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, wamefanya mazungumzo na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Mifumo ya Kodi. Mazungumzo hayo yamefanyika tarehe 30 Aprili 2025, katika Ukumbi wa Spika, Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Wajumbe wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Mifumo ya Kodi, wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti, Mhe. Balozi Maimuna Tarishi walipomtembelea tarehe 30 Aprili 2025, Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Fred Msemwa, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma tarehe 16 Aprili, 2025. Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza na Viongozi wa Access Bank Tanzania wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Ndg. Imani John (kulia kwake), walipomtembelea tarehe 16 Aprili, 2025 Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akikabidhiwa rasmi Tuzo ya Heshima ya Malkia wa Nguvu na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba iliyotolewa na Clouds Media Group baada ya kuipokea kwa niaba yake tarehe 4 Aprili, 2025. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, wamekutana na kufanya mazungumzo na Wajumbe wa Kamati ya Uchumi wa Taifa, Biashara na Mambo ya Kazi kutoka Bunge la Zambia walipowatembelea tarehe 9 Aprili, 2025 Bungeni Jijini Dodoma.

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Mambo Ya Nje Na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2025/26.

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Maend ...

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorot ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Mambo ...

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Innocent Bashungwa akiwasilisha Makadirio ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Mifug ...

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiwasilisha Makadirio ya Map ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
The Supplementary Appropriation (For Financial Year 2024/25) Act, 2025 Passed Download
The National Health Insurance Fund (Amendment) Bill, 2025 First reading Download
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025] First reading Download
The National Housing Corporation (Amendment) Bill, 2025 First reading Download
The Labour Laws (Amendments) Bill, 2024) Passed Download
Details Options
Click Here for More What's On
MAELEZO YA MHESHIMIWA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMВА MADELU (MB), WAZIRI WA FEDHA AKIWASILISHA KATIKA KAMATI YA BUNGE ZIMA MAPENDEKEZO YA MFUMO NA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2025/26 Download
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26 Download
MAELEZO YA SPIKA KUHUSU MATUKIO MUHIMU KUELEKEA NA WAKATI WA MKUTANO WA KUMI NA TISA WA BUNGE Download
BUNGE NEWSLETTER NINTH EDITION-FEB.2025 Download
HOTUBA YA MHESHIMIWA KASSIM M. MAJALIWA (MB.), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WAKATI WA KUAHIRISHA MKUTANO WA 17 WA BUNGE LA 12 TAREHE 8 NOVEMBA, 2024 DODOMA Download

Education And Outreach

EDUCATION

Parliament & Commitee Sessions And Sittings

Quick Links