Parliament of Tanzania

Hon. Dr. Tulia Ackson

Speaker

Legislative Role

Ask the Speaker / Comments

Mr. Baraka I. Leonard

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Ask the Clerk / Comments

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyopewa na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa niaba ya Wabunge wote. Kwaya ya Ofisi ya Bunge ikitumbuiza wakati wa hafla ya kumkabidhi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson pamoja na Viongozi wengine wa Kitaifa wakiimba wimbo wa Taifa wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tazania Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Tuzo Maalum ya Heshima kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifurahia jambo na Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakati wa hafla ya kumkabidhi Tuzo Maalum ya Heshima ya Bunge la Tanzania Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (watatu kutoka kushoto kwa waliokaa) katika picha ya pamoja na Maspika wa Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya Kikao cha Maspika hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Waliosimama ni Makatibu wa Mab Katibu wa Bunge la Tanzania, Ndg. Baraka Leonard (wanne kutoka kushoto) katika picha ya  pamoja na Makatibu wenzake  wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki wakati wa Kikao cha Makatibu hao kilichofanyika Jijini Dar es Salaam. Spika wa Bunge Mhe. Dkt. Tulia Ackson amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma. Katibu wa Bunge Ndg. Baraka Leonard, amekutana na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya FP-ICGLR, Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma.

Taarifa Ya Kamati Ya Bunge Ya Kanuni Kuhusu Mapendekezo Ya Marekebisho Ya Kanuni Za Bunge, Toleo La Februari, 2023.

Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Azzan Zungu akiwasilisha Bungeni taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kanuni kuhusu Mapendekezo ya Marekebisho ya Kanuni za Bunge, Toleo la Februari, 2023.

Maelezo Ya Waziri Wa Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya ...

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Deogratius Ndejembi akiwas ...

Maelezo Ya Mwanasheria Mkuu Wa Serikali Kuhusu M ...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Hamza Johari akiwasilisha maelezo ya Muswada ...

Makadirio Ya Mapato Na Matumizi Ya Wizara Ya Fedha ...

Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba akiwasilisha Makadirio ya Mapato na M ...

View All News From Bunge

Details Stage Options
Click Here for More Bills & Legislation
The Supplementary Appropriation (For Financial Year 2024/25) Act, 2025 Passed Download
The National Health Insurance Fund (Amendment) Bill, 2025 First reading Download
The Written Laws (Miscellaneous Amendments) Bill, 2025] Passed Download
The National Housing Corporation (Amendment) Bill, 2025 Passed Download
The Labour Laws (Amendments) Bill, 2024) Passed Download
Details Options
Click Here for More What's On
MAELEZO YA MHESHIMIWA DEOGRATIUS J. NDEJEMBI (MB), WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AKIWASILISHA BUNGENI MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA WA MWAKA 2025 (THE NATIONAL HOUSING CORPORATION (AMENDMENT) BILL, 2025) Download
HOTUBA YA MHESHIMIWA HAMZA S. JOHARI (MB), MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKIWASILISHA MUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI WA MWAKA 2025 (THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) BILL, 2025) KATIKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA Download
MAELEZO YA MHESHIMIWA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMВА MADELU (MB), WAZIRI WA FEDHA AKIWASILISHA KATIKA KAMATI YA BUNGE ZIMA MAPENDEKEZO YA MFUMO NA UKOMO WA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA 2025/26 Download
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26 Download
MAELEZO YA SPIKA KUHUSU MATUKIO MUHIMU KUELEKEA NA WAKATI WA MKUTANO WA KUMI NA TISA WA BUNGE Download

Education And Outreach

EDUCATION

Quick Links