Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 8 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 137 | 2025-02-06 |
Name
Dr. Christina Christopher Mnzava
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. DKT. CHRISTINA C. MNZAVA aliuliza:-
Je, lini ujenzi wa Barabara ya Old Shinyanga hadi Solwa utaanza?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, kazi ya ujenzi wa Barabara ya Old Shinyanga hadi Solwa yenye urefu wa kilometa 64.7 imeanza kwa awamu kulingana na upatikanaji wa fedha. Katika eneo la Solwa, kipande chenye urefu wa mita 400 kimejengwa na kukamilika mwezi Agosti, 2024. Kwa sehemu iliyobaki, Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuendelea na ujenzi, ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved