Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 9 | Livestock , Fisheries, Agriculture, Food Security and Cooperatives | Wizara ya Kilimo | 149 | 2025-02-07 |
Name
Amandus Julius Chinguile
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Nachingwea
Primary Question
MHE. ALLY M. KASSINGE K.n.y. MHE. AMANDUS J. CHINGUILE aliuliza:-
Je, lini Skimu za Umwagiliaji zitajengwa katika Kata za Ruponda, Mramba, Mbondo, Matekwe na Kilimarondo – Nachingwea?
Name
David Ernest Silinde
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Tunduma
Answer
NAIBU WAZIRI WA KILIMO alijibu:-
Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2024/2025, Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imepanga kuchimba visima na kuweka miundombinu ya umwagiliaji katika maeneo ya Ruponda, Mandawa, Marambo, Mnerongongo na Ntila. Aidha, maeneo ya Matekwe, Mbondo, Kilimarondo na Mitumbati kwa pamoja yatapewa kipaumbele katika mpango na bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026, ahsante sana.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved