Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 7 | Planning and Investment | Ofisi ya Rais: Mipango na Uwekezaji | 115 | 2025-02-05 |
Name
Taska Restituta Mbogo
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. TASKA R. MBOGO aliuliza:-
Je, lini Serikali itawalipa Wastaafu waliokuwa Wafanyakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanaodai formula haikufuatwa wakati wanalipwa?
Name
Stanslaus Haroon Nyongo
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Maswa Mashariki
Answer
NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI alijibu:-
Mheshimiwa Naibu Spika, kutokana na uhakiki uliofanyika, ilibainika kuwa, wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki wanaoidai Serikali kutokana na dosari ya ukokotozi wa fomula wanadai shilingi bilioni 1.3 ambapo shilingi bilioni 1.17 kwa wastaafu walio hai 146 na shilingi milioni 151.1 kwa wastaafu 21 waliofariki.
Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya uhakiki, tumewasilisha orodha ya madeni kwa Wizara ya Fedha ili yalipwe pindi pesa zitakapopatikana. Ahsante sana.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved