Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 9 | Works and Transport | Wizara ya Ujenzi | 151 | 2025-02-07 |
Name
Abubakar Damian Asenga
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Kilombero
Primary Question
MHE. ABUBAKARI D. ASENGA aliuliza: -
Je, lini Serikali itawalipa fidia wananchi waliopisha ujenzi wa Barabara ya Mchepuko kutoka Ifakara, Kikwawila, Mbasa hadi Lipangalala?
Name
Eng. Godfrey Msongwe Kasekenya
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Ileje
Answer
NAIBU WAZIRI WA UJENZI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali imekamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa awali wa Barabara ya Mchepuo ya Mji wa Ifakara yenye urefu wa kilometa 10. Kwa sasa Serikali inaendelea kutafuta fedha kwa ajili ya kuanza ujenzi.
Mheshimiwa Spika, sambamba na hilo, taratibu za kufanya tathmini ya mali zote zitakazoathiriwa na ujenzi zinaendelea. Mara baada ya kukamilika kwa tathmini, Serikali itatafuta fedha kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi wote wanaostahili kwa mujibu wa sheria.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved