Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 18 | Sitting 9 | Information, Communication and Information Technology | Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari | 154 | 2025-02-07 |
Name
Jonas William Mbunda
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Mbinga Mjini
Primary Question
MHE. JONAS W. MBUNDA aliuliza: -
Je, lini Serikali itajenga minara ya simu katika Kata za Kikolo na Kagugu - Mbinga Mjini?
Name
Maryprisca Winfred Mahundi
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA YA HABARI alijibu: -
Mheshimiwa Spika, Serikali kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) itafanya tathmini katika kata hizi mbili za Kikolo na Kagugu ili kubaini maeneo yenye changamoto na kutambua mahitaji halisi ya huduma za mawasiliano ili tuweze kuyaingiza maeneo hayo katika zabuni za miradi inayofuata ya mawasiliano kulingana na upatikanaji wa fedha.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved