Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 10 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 121 | 2025-04-23 |
Name
Agnes Elias Hokororo
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Primary Question
MHE. AGNES E. HOKORORO aliuliza:-
Je, lini Mkoa wa Mtwara utaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Mkoa wa Mtwara utaunganishwa kwenye Gridi ya Taifa mwezi Septemba, 2026 mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Songea hadi Mahumbika kupitia Tunduru na Masasi. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved