Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Term | Session | Sitting | Sector | Ministry | Qn No | Date |
---|---|---|---|---|---|---|
2020-2025 | Session 19 | Sitting 13 | Energy and Minerals | Wizara ya Nishat | 158 | 2025-04-28 |
Name
Shabani Omari Shekilindi
Sex
Male
Party
CCM
Constituent
Lushoto
Primary Question
MHE. SHABANI O. SHEKILINDI aliuliza:-
Je, lini Vitongoji vya Hendelo, Ngaloi na Muheza, Lushoto, vitapata umeme?
Name
Judith Salvio Kapinga
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
Special Seats
Answer
NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-
Mheshimiwa Spika, Kitongoji cha Muheza kilichopo Kijiji cha Rwandai, Kata ya Rwandai, kitapatiwa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini, Awamu ya Pili B, ambao zabuni ya kuwapata Wakandarasi imetangazwa na inatarajiwa kufunguliwa hivi karibuni. Vitongoji vingine vilivyosalia, ikiwemo Hendelo na Ngaloi vitaendelea kupelekewa umeme kupitia miradi ijayo kulingana na upatikanaji wa fedha. Ahsante.
Copyright © Bunge Polis 2025. All Rights Reserved