Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kwa mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nampa hongera sana kwa kazi nzuri Mheshimiwa Waziri na Wizara kwa ujumla.
Mheshimiwa Mwenyekiti, asilimia 60 ya tumbaku Tanzania inalimwa Urambo Mkoa wa Tabora. Je, Serikali hii haioni kuna umuhimu wa kiwanda cha Tumbaku? Kwa sasa tumbaku inasafirishwa kwa magari kwenda Morogoro jambo ambalo limepunguza kiwango au daraja la tumbaku, wakati huo huo barabara zinaharibika. Aidha, kuwakosesha ajira vijana wa Urambo na Tabora kwa ujumla.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali haoini umuhimu wa kuokoa matunda ya Tanzania kwa kushawishi wawekezaji?