Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, Ludewa kuna tatizo kubwa linalowavunja sana moyo wananchi waliojitolea nguvu zao kujenga vituo vya afya ambavyo havijamaliziwa na Serikali. Kata ya Lumbila, Kata ya Lupingu, Kata ya Ludewa, Kata ya Lupanga, Kata ya Luana, Kata ya Ludende, Kata ya Madope, Kata ya Lugarawa, Kata ya Madilu, Kata ya Mkongobaki na Kata ya Masasi walianzisha majengo ya utawala ya vituo vya afya ila Serikali haijavimalizia. Jambo hili linaua sana moyo wa wananchi kujitolea. Naomba sana Serikali iweze kuvimalizia kwa awamu.