Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Hon. Joseph Michael Mkundi

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ukerewe

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. JOSEPH M. MKUNDI: Mheshimiwa Spika, kuna waliokuwa watumishi Serikalini mfano Magereza baada ya kustaafu wanapata malipo kidogo sana ya kila mwezi jambo ambalo linapelekea wastaafu hawa kuishi maisha magumu sana.

Mheshimiwa Spika, ombi lwangi; Serikali ipitie upya mafao ya wastaafu wetu ili wasidhalilike sana baada ya kustaafu.