Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Hon. Boniphace Mwita Getere

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Bunda

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

MHE. BONIPHACE M. GETERE: Mheshimiwa Spika, naomba kujengewa majosho katika Kijiji cha Nyaburundu, Mekomariro, Nyansirori, Nyangere, Hunyari, Sanzate, Rakana, malambo mawili Nyaburundu na Rakana.