Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Mifugo na Uvuvi

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, Jimbo la Ilemela asilimia 87 ni maji, nchi kavu ni asilimia 13 tu, hivyo uchumi wa Ilemela kwa kiasi kikubwa wanategemea rasilimali za majini hususani Ziwa Victoria.

Mheshimiwa Spika, maombi; akina mama wengi wanaofanya bidhaa ya dagaa wanahitaji vifaa vya kukaushia dagaa tofauti na sasa wanakausha dagaa katika mazingira yasiyoridhisha.

Mheshimiwa Spika, vijana wanahitaji mashine za boti kwa ajili ya uvuvi katika maji yenye kina kirefu na vizimba kwa ajili ya ufugaji samaki wa vizimba.