Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Kilimo

Hon. Joseph Zacharius Kamonga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Ludewa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024 – Wizara ya Kilimo

MHE. JOSEPH Z. KAMONGA: Mheshimiwa Spika, tunaishukuru sana Serikali kwa mradi wa umwagiliaji Ruhuhu. Tunaomba utumike kutatua changamoto ya mafuriko Kata ya Ruhuhu hasa Vijiji vya Kipingu, Ilela na Ngelenge ambapo mpunga, mihogo na mahindi ya wakulima kuzama.

Mheshimiwa Spika, tunaomba Bonde la Masimavalafu lenye ekari 5,000 nalo lipate mradi wa kilimo cha umwagiliaji. Bonde hili lipo Kata ya Ibumi, Kijiji cha Masimavalafu, Wilaya ya Ludewa.