Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio na Mapato ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Hon. Tumaini Bryceson Magessa

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Busanda

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio na Mapato ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 – Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

MHE. TUMAINI B. MAGESSA: Mheshimiwa Mwenyekiti, rejea kiambatanisho cha miradi (minara itakayojengwa mwaka 2022/2023) kwenye hotuba (soft copy) iliyo katika Wilaya ya Geita Jimboni Busanda inaonesha Bujila na Nyamalimbe ambayo ni ya mwaka uliopita 2021/2022, kitabu cha hotuba kinaonesha kiambatanisho sahihi ambapo inaonesha ujenzi utafanyika Nyakagomba (Kata ya Nyakagomba) na Msasa (Kata ya Busanda) mwaka 2022/2023. Naomba kiambatanisho kwenye softcopy ya hotuba irekebishwe ifanane na printed hard copy.