Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

Hon. Jesca Jonathani Msambatavangu

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Iringa Mjini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025

MHE. JESCA J. MSAMBATAVANGU: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba upelekaji wa umeme kwenye maeneo ya mijini yenye sura za vijiji, lifanyiwe kazi maeneo hayo yapate umeme. Mfano maeneo ya Mitaa ya Ugele, Msisina, Mtalagala, Mosi, Ulonge, Machinjio ya Nguruwe ndani ya Manispaa ya Iringa. Umeme upelekwe kwa gharama za upelekaji wa umeme vijijini, kwa kuwa mazingira yao ni sawa na vijiji tu, ingawa vinatambulika viko mjini.