Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kwanza kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa aliyoifanya katika sekta ya maji.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pili nikupongeze wewe kwa kazi unayoifanya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ombi; naomba mradi wa Ziwa Victoria kuja Urambo ukamilike na pia naomba Bwawa la Karemera likamilike.