Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Eng. Kundo Andrea Mathew

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Bariadi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

NAIBU WAZIRI WA MAJI: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru kwa kunipatia fursa hii nami niweze kuongea mawili, matatu, lakini kikubwa sana Waheshimiwa Wabunge wameongea, Bunge limeongea maana yake Watanzania wameongea na kikubwa zaidi wamepongeza kazi kubwa sana ambayo imefanyika.

Mheshimiwa Naibu Spika, nianze kwa kumshukuru sana Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo nasimama hapa nikiwa katika bajeti ya tano nikiwa Naibu Waziri, imani hiyo namshukuru sana kwa kunipatia na hiyo ni heshima kwa wananchi wa Jimbo la Bariadi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, nimshukuru sana kaka yangu Jumaa Hamidu Aweso. Kaka yangu huyu…