Bunge la Tanzania
Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Sex
Female
Party
CCM
Constituent
House of Representatives
Contributions
nil
Answers
nil
Commettees
1
Ministries
nil
MHE. BAHATI KHAMIS KOMBO: Mheshimiwa Spika, nianze kwa kukupongeza wewe kwa kuliongoza vyema Bunge. Pia nampongeza Rais wetu Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa uongozi wake uliotukuka.
Mheshimiwa Spika, nielekee katika mchango wangu. Wapo wananchi mpaka leo bado umeme haujafika. Naomba Serikali ichukue juhudi za makusudi ili waweze kupata umeme. Serikali imejielekeza kuboresha nishati ya kupikia ili wananchi hasa akinamama waachane na kupikia kuni ili waendelee kutunza mazingira, Serikali kufanya utaratibu wa kuongeza majiko ya gesi kwa wale ambao hawajafikiwa waweze kufikiwa na tuwaombe wanaouza mitungi ya gesi, wapunguze bei ili waweze kununua.
Mheshimiwa Spika, naunga mkono hoja.