Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Mwantumu Mzamili Zodo

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Nishati kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. MWANTUMU M. ZODO: Mheshimiwa Spika, nampongeza sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kampeni yake kabambe ya nishati safi ya gesi.

Mheshimiwa Spika, kupitia hamasa hii ya Mheshimiwa Rais, naomba niishauri Serikali yangu sikivu kuendelea kuongea na wadau kushusha bei ya gesi ili kila Mtanzania aweze kutumia nishati safi ya gesi.

Mheshimiwa Spika, pia, naishauri Serikali kuendelea kutoa elimu ya matumizi ya makaa ya mawe ili kuendelea kutunza mazingira yetu na kulinda afya za Watanzania kwa ujumla.