Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

Hon. Mwantumu Mzamili Zodo

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026

MHE. MWANTUMU M. ZODO: Mheshimiwa Naibu Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha mazingara mazuri zaidi ya kujifunzia ili kuwaandaa Watanzania kujiajiri badala ya kusubiri kuajiriwa. Napongeza pia kwa kuanzishwa shule za amali kila mkoa ambazo zinakwenda kuwa mkombozi wa ajira hapo baadaye.

Mheshimiwa Naibu Spika, ushauri wangu kwa Wizara ni kama ifuatavyo:-

Kwanza Wizara ipeleke wataalamu wa fani mbalimbali kama kilimo, ushonaji, ujasiriamali na fani nyingine ambazo zitawaandaa wanafunzi kujiajiri na siyo kusubir ajira.

Pili, wanafunzi wajifunze zaidi kwa vitendo