Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

Hon. Anatropia Lwehikila Theonest

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa kwa mwaka wa Fedha 2016/2017.

MHE. ANATROPIA L. THEONEST: Mheshimiwa Mwenyekiti, Dar es Salaam inaweza kuwa kivutio kwa watalii. Tuna eneo la Dar es Salaam Zoo ambalo ni eneo la mtu binafsi, Serikali inaweza pia kuanzisha eneo kama hilo kwa ajili ya kipato hasa maeneo ya Kigamboni, utalii huu utakwenda sambamba na Daraja la Kigamboni.
Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu utalii wa majengo ya kale, Bagamoyo, historia ya Bagamoyo ikiwa promoted vizuri itaongeza tija katika cultural tourism; Kaole ilikuwa kivutio sana, kadri tulivyoshindwa kutangaza ndivyo utalii huu umefifia.