Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

Hon. Khadija Hassan Aboud

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017

MHE. KHADIJA HASSAN ABOUD: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza naipongeza Wizara kwa kazi nzuri ya kuitangaza Tanzania. Nina ushauri ufuatao:-
(i) Abiria wanaosafiri nje ya nchi wakaguliwe kwa uhakika ili kudhibiti Watanzania kukamatwa na madawa ya kulevya;
(ii) Wizara itenge fedha kwa ajili ya dharura kwa Balozi zetu kwa madhumuni ya kuwasaidia Watanzania wanaofika Ubalozini kuomba wasaidiwe baada ya kupata matatizo makubwa huko ugenini; na
(iii) Ofisi ya Makao Makuu ya Kiswahili ipewe vitendea kazi na fedha ili ifanye kazi zake kwa umahiri mkubwa ikiwa ni pamoja na kukitangaza Kiswahili.
Mheshimiwa Mwenyekiti, namtakia Waziri kazi njema katika kutekeleza majukumu yote.