Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa kwa kipindi cha Miaka Mitano kuanzia mwaka 2016/2017 – 2020/2021

Hon. Oran Manase Njeza

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mbeya Vijijini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa kwa kipindi cha Miaka Mitano kuanzia mwaka 2016/2017 – 2020/2021

MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kutoa pongezi kwa Rais Dkt. John Magufuli pamoja na timu yake ya Mawaziri kwa kuleta matumaini ya Watanzania:-
Utumbuaji Majipu; Kuondoa wafanyakazi hewa; Kuondoa wafanyakazi wazembe; Kuondokana na uchumi tegemezi; Kuondokana na mikopo; na Kuweka mazingira ya kuongeza FDI.
Mheshimiwa Naibu Spika, Hotuba ya Mpango wa Pili wa Maendeleo. Natoa pongezi kwa Rais Dkt. John Magufuli kwa:-
Utumbuaji majipu; Kuondokana na uchumi tegemezi, FDI vs Misaada; Uchumi wa viwanda; Kuboresha elimu; na Kuboresha kilimo.
Mheshimiwa Naibu Spika, katika huduma za Fedha:-
Mitaji ya benki za TIB na TADB 212 bilioni na 60 bilioni; Jinsi ya kunufaisha wakulima na wajasiriamali wadogo; Riba haziko rafiki na wakopeshe wadogo (Wajasiriamali na Wakulima); Matumizi ya Mobile Money – M Pesa; Payment system inahama kutoka ma-bank kwenda kwenye mitandao ya simu; usimamizi/ulinzi/protection; na TR na usimamizi wa mashirika.
Mheshimiwa Naibu Spika, katika kilimo (3.4%):-
Napongeza Mpango wa Serikali wa kutoa milioni 50 kwa kila Kijiji/Mtaa; Elimu ya kilimo na ujasiriamali; Mapinduzi katika kilimo; Kuongeza thamani ya mazao ya kilimo; Msisitizo wa viwanda vidogovidogo vijijini; na Msisitizo uwe kuongeza na kuboresha uzalishaji wa kilimo; US$ against TZS – itakuwa imara tukiongeza uzalishaji na kupunguza imports.
Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu Barabara/Reli/Miundombinu Vijijini:-
Barabara za Vijijini ziboreshwe kusaidia usafirishaji wa mazao; Kuboresha Reli ya TAZARA; Barabara za kupunguza msongamano; Barabara ya Tanzania – Zambia kupita katikati ya miji yetu mikubwa kama Jiji la Mbeya, hatari ya ajali/msongamano; Barabara za kuunganisha mikoa; Isyonje (Mbeya) Kikondo – Kitulo - Makete – Njomb; na Mbalizi – Galula, Mbalizi – Ilembo – Ileje.
Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu maji:-
Changamoto za maji vijijini; Maji/afya ya wananchi na gharama ya tiba; na Miradi ya maji Kata ya Mjele, Mji Mdogo wa Mbalizi.
Mheshimiwa Naibu Spika, katika elimu, mitaala ya elimu iendane na mipango yetu; ujasiriamali wa kilimo.
Mheshimiwa Naibu Spika, Nishati na Madini:-
Vyanzo vya umeme; jua, maji, upepo na gesi; Madini ya Songwe; na Umiliki wa wananchi