Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira

Hon. Jenista Joackim Mhagama

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Peramiho

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira

MHE. JENISTA J. MHAGAMA: Mheshimiwa Mwenyekiti naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. Naipongeza sana Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri na Naibu Waziri kwa kazi nzuri.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Kijiji cha Kizuka kimeanzisha mradi wa kutunza mazingira kwa kuhifadhi vyanzo vya maji kwa kuweka mradi wa maji. Tungeomba kufahamu Ofisi ya Makamu ya Rais inatusaidiaje?
Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna vikundi vingi vya hifadhi ya mazingira vikiwa na miradi ya upandaji miti na ufugaji wa nyuki. Tunaomba msaada wa ushauri na teknolojia rahisi katika suala hili.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuokoa mazingira akinamama wameanzisha mpango wa majiko yenye utunzaji wa mazingira, tunaomba usimamizi wa kuwasaidia akinamama hao.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja.