Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Maliasili na Utalii

Hon. Pascal Yohana Haonga

Sex

Male

Party

CHADEMA

Constituent

Mbozi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Maliasili na Utalii

MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara ya Maliasili na Utalii idhibiti mauaji ya tembo ambao wapo mbioni kupotea kabisa. Tembo wameendelea kuuawa mwaka hadi mwaka hivyo tutapoteza watalii wengi kutokana na suala hili.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia Wizara ya Maliasili na Utalii iwazuie askari wake kuwapiga risasi na kuwaua wananchi wanaoingia maeneo ya hifadhi. Kuwaua wananchi ni kosa kubwa sana, ni bora hatua kali zichukuliwe kwa askari hawa watovu wa nidhamu. Naomba kuwasilisha.