Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa

Hon. Lucia Ursula Michael Mlowe

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa mwaka wa Fedha 2017/2018 - Waziri wa Ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa

MHE. LUCIA M. MLOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti, naiomba Serikali iwalipe maslahi wanajeshi yanayoendana na gharama za maisha, kwani gharama za maisha zimepanda. Naiomba Serikali imalize migogoro ya ardhi kati ya Kambi za Jeshi na wananchi ili wananchi waweze kuishi kwa amani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naiomba Serikali ishughulikie mafao ya wanajeshi waliostaafu. Mfano, kuna wanajeshi katika Mkoa wa Njombe ambao wamestaafu, lakini hawajalipwa mafao yao. Naomba kuwasilisha.