Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Hon. Lucia Ursula Michael Mlowe

Sex

Female

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

MHE. LUCIA M. MLOWE: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kuongelea suala la vinyungu. Niombe Serikali ione namna ya kuwasaidia wananchi wa Mkoa wa Njombe ambao wanategemea vinyungu, bila vinyungu Njombe watapata umaskini. Serikali itoe mbadala wa vinyungu maana wananchi hawana sehemu nyingine ya kulima, wakilima mashamba ya nchi kavu hawapati chochote pia maji ni shida.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.