Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Hon. Mary Deo Muro

Sex

Male

Party

CHADEMA

Constituent

Special Seats

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

MHE. MARY D. MURO: Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuchangia kama ifuatavyo:-

(i) Naishauri Serikali kuangalia upya kuhusu pembejeo kwa ajili ya kilimo kufika mapema kulingana na misimu na pia mbegu ziboreshwe;
(ii) Serikali ijitahidi kuwajali wagani tulionao kwa kuwapa vitendea kazi, usafiri wa kuwafikia wakulima wetu;

(iii) Nashauri Serikali itoe elimu ya ufungashaji ambayo imegharimu mazao yetu yanafungashwa Kenya na kusafirishwa hivyo kupata fedha nyingi kuliko wakulima;

(iv) Nashauri Serikali kuangallia jinsi dawa zinavyohifadhiwa kwani kuna nyingi ni sumu na zinaharibu afya za wananchi;

(v) Nishauri Serikali kuhakikisha wanashughulikia miundombinu ya kutoa mazao mashambani;

(vi) Nishauri Serikali kuelimisha wananchi juu ya uuzaji mazao siyo kuzuia tu kwani mwananchi anatakiwa kuuza ili kununua mahitaji mengine.