Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Hon. Dr. David Mathayo David

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Same Magharibi

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018 – Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

MHE. DKT. DAVID M. DAVID: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza, napenda kuunga mkono hoja hii kwa asilimia mia moja. Pili, nawapongeza Mheshimiwa Waziri, Naibu Waziri na Katibu Mkuu kwa uongozi bora.

Mheshimiwa Mwenyekiti, bajeti ya mwaka 2013/2014 ilipitisha bajeti ya kuwapelekea huduma za mifugo (miundombinu) kama majosho, malambo na visima virefu. Pia mwaka 2015 wataalam wa Wizarani walitembelea Kata ya Ruvu na maeneo ya kujenga miundombinu hiyo. Je, miradi hiyo itakamilika lini na tutegemee miradi hiyo itaanza lini?

Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja.