Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Job Yustino Ndugai

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Kongwa

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. JOB Y. NDUGAI: Mheshimiwa Naibu Spika, tunaomba sana kilometa sita zilizobakia kuwekwa lami kati ya Mbande – Kongwa, mwaka huu zifanyiwe kazi. Miaka 20 sasa tunaongelea jambo hili hili kila mwaka, haipendezi.