Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Julius Kalanga Laizer

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Monduli

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. CATHERINE V. MAGIGE: Mheshimiwa Naibu Spika, Shirika la Posta limekuwa likiwalipa pension waliokuwa wafanyakazi wa Jumuiya ya Posta ya Afrika Mashariki kwa kipindi kirefu kwa niaba ya Serikali na Serikali inachelewa kurudisha shilingi bilioni nne ili Shirika la Posta liwalipe wafanyakazi hao.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba Serikali iwalipe pesa hizo ili Shirika la Posta liweze kuendelea kwa mafanikio.