Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Deo Kasenyenda Sanga

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Makambako

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. DEO K. SANGA: Mheshimiwa Naibu Spika, nawapongeza kwa kazi nzuri sana zinazofanyika katika nchi hii ya Rais wetu Mheshimiwa John Pombe Magufuli pamoja na Waziri na Naibu Waziri na watendaji wa Wizara. Ombi, pamoja na bajeti nzuri ikiwemo barabara za Mji wa Makambako kilometa sita za lami; naomba kujua mradi wa kujenga One Stop Center lini?

Mheshimiwa Naibu Spika, utaanza pale Idofi maana watu hawa wamekuwa wakisubiri muda barabara kutoka Ilunda – Igongolo urefu wa kilometa tisa ni ya TANROADS mbele inaendelea Kifumbe - Mahongole mpaka Makambako urefu wa kilometa 19. Ombi, iunganishwe iwe kuanzia Igongolo kuwa TANROADS.

Mheshimiwa Naibu Spika, mawasiliano Lyemukena – Majengo - Kifumbe, Kitandilo-Mahongole hakuna mawasiliano, tunaomba mawasiliano