Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Flatei Gregory Massay

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Mbulu Vijijini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

2

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. FLATEI G. MASSAY: Mheshimiwa Naibu Spika, naipongeza Serikali na Mawaziri wote. Tuna tatizo la barabara ya lami ambayo ipo katika Ilani ya Uchaguzi ya kutojengwa kwa kiwango cha lami kabla ya mwaka 2020 kama tulivyoahidi. Tunaomba kujengewa barabara hii Karatu
– Mbulu – Haydom – Lalagu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu mawasiliano naomba minara ya simu katika Kata ya Endahagichan, Endomilay, Nqorati, Geterer, Endamasak, Eshkesh, Arri Tumat. Pia naomba mnara wa Maghang ufunguliwe na wa Yaeda - Ampa maana muda umepita sana. Naomba sana.