Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Julius Kalanga Laizer

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Monduli

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. JULIUS K. LAIZER: Mheshimiwa Naibu Spika, ujenzi wa barabara ya Mto wa Mbu hadi Serengeti – Mugumu, barabara hii ni muhimu kwa sababu pia imegundulika madini ya magadi pale Engaruka.

Mheshimiwa Naibu Spika, lini barabara hii itaanza kujengwa ikianzia Mto wa Mbu ili kurahisisha uanzishwaji wa Kiwanda cha Magadi Engaruka. Pia ni lini ahadi ya Rais ya kujenga kwa lami barabara ya Monduli kwenda Sokoine.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni lini Serikali itatupatia daraja la kudumu barabara ya Lokisale – Monduli?