Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

Hon. Hamidu Hassan Bobali

Sex

Male

Party

CUF

Constituent

Mchinga

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

0

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019 - Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MHE. HAMIDU H. BOBALI: Mheshimiwa Naibu Spika, ninamuomba sana tena sana Mheshimiwa Waziri, waichukue barabara ya Chikonji – Nangani kwenda Milola iingie kwenye barabara za TANROADS. Ni barabara kubwa na muhimu sana kwa uchumi wa wakazi wa Jimbo la Mchinga na Lindi Mjini. TARURA hawawezi kujenga barabara hii ina madaraja mengi na makubwa hivyo kuachia TARURA si sawa hata kidogo.