Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

Hon. Margaret Simwanza Sitta

Sex

Female

Party

CCM

Constituent

Urambo

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa Mwaka wa Fedha 2018/2019

MHE. MARGARET S. SITTA: Mheshimiwa Naibu Spika, pongezi kwa Mheshimiwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu na watendaji wote. Nawatakia kila la heri katika kazi zenu muhimu na ngumu.

Mheshimiwa Naibu Spika, naendelea kuomba kwa niaba ya wananchi wa Urambo mradi wa Lake Victoria ufike Urambo. Naomba DDCA ianze kazi, Urambo tuna shida kubwa ya maji.

Mheshimiwa Naibu Spika, ukurasa wa 272 wa kitabu cha Wizara, Kituo cha VETA cha Ulyankulu ambacho kipo Wilaya ya Kaliua imeandikwa kipo Urambo, naomba pasahihishwe. Kila la heri.