Jamhuri ya Muungano ya Tanzania

Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 – Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Hon. Athumani Almas Maige

Sex

Male

Party

CCM

Constituent

Tabora Kaskazini

Contributions

nil

Answers

nil

Commettees

1

Ministries

nil

Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa mwaka wa Fedha 2018/2019 – Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

MHE. ALMAS A. MAIGE: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kuendeleza suala la kuomba matumizi ya lugha ya kufundishia katika shule za msingi na shule za upili kuwa Kiswahili. Naelewa kuwa suala hili ni la kisera chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia lakini niliomba uamuzi wa Waziri wa Ofisi ya Rais, TAMISEMI ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hii ndiyo sababu ya kuleta suala hili kupitia Hotuba ya Ofisi ya Rais, TAMISEMI.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba Waziri atakapokuja kutoa majumuisho yake alisemee suala hili la kufundisha shule za msingi na shule za upili kwa kutumia lugha ya Kiswahili.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.